Skip to main content
News and Events

Prof. Kabudi afanya mazungumzo na Mwakilishi wa UNESCO nchini Tanzania.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi(Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi,na Utamaduni (UNESCO) nchini Bw. Tirso Dos Santos. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje zilizopo jijini Dar es Salaam tarehe 04, Juni 2019

  • Meza Kuu wakiwa wamesimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa kwenye hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais wa Romania, Mhe. Klaus Iohannis Ikulu Zanzibar