Skip to main content
News and Events

Meli ya Mfame wa Oman yawasili Jijini Dar es Salam kwa ziara

Meli ya Mfame wa Oman yawasili Jijini Dar es Salam kwa ziara

  • Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akisalimiana na Waziri Mahammed katika sherehe za mapokezi zilizofanyika Bandarini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Charles Mwijage.
  • Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi, Dkt. Aziz Mlima akisalimiana na Mhe. Dkt. Mahammed.
  • Viongozi waandamizi kutoka Serikali ya Tanzania na Oman wakijadiliana ndani ya Meli.